Simba SC imetangaza rasmi kuachana na kocha wake mkuu Patrick Aussems kwa kile walichodai kuwa ameshindwa kufikia malengo, Aussems al...
KAULI YA MWAKINYO BAADA YA KUMCHAPA MFILIPINO ARNEL TINAMPAY
Bondia Hassan Mwakinyo amesema moja ya sababu iliyopelekea yeye kumshinda Bondia Mfilipino Arnel Tinampay, ni yeye kurusha ngumi nzito ...
ACT- WAZALENDO WATAKA VIFURUSHI BIMA YA NHIF VISITISHWE, SERKALI YAWAJIBU
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kusitisha vifurushi vya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF) kwa madai kuwa vinakan...
GARI LA COASTAL UNION LIKIWA NA MASHABIKI WALIOENDA KUMSHANGILIA BONDIA MWAKINYO LAPATA AJALI
Gari la Coastal Union iliyokuwa imebeba mashabiki kutoka Tanga ambao walienda Dar kumuunga mkono Bondia Mwakinyo limepata Ajali kwa kug...
AJINYONGA BAADA YA MKEWE KUMTOROKA USIKU NA KWENDA KWA MWANAUME MWINGINE
Watu wanne wamefariki dunia katika matukio tofauti wilayani Nkasi mkoani Rukwa, likiwemo la mwanaume kujinyonga kwa kutumia kamba ya na...
CHUO CHA MIPANGO CHATAKIWA KUFANYA UTAFITI WA UMASIKINI NA UTEKELEZAJI MIRADI YA UMMA
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amekitaka Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, kutafiti kwa kina namna wananch...
SIMBACHAWENE: MATUMIZI YA NISHATI MBADALA NI KITU CHA MUHIMU KWA MAENDELEO YA TAIFA
Matumizi ya nishati ya kuaminika na endelevu ni kitu kisichoepukika kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na kwa Taifa lolote duniani hasa t...
MAHIGA AWATAKA WAKUU WA MAGEREZA NCHINI KUTUMIA UJUZI WA WAFUNGWA KUJIENDESHA NA KUTOA MCHANGO WA GAWIO KWA SERIKALI
Waziri wa Katiba na Sheria Mheshimiwa Balozi Dkt Augustine Mahiga amewataka Wakuu wa Magereza nchini kutumia nguvu kazi na ujuzi wa waf...
IGP SIRRO: RUDISHENI MAHARI, WATOTO WA KIKE SIO MITAJI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka wazazi wote na walezi Mkoani Mara walioozesha watoto wadogo wakiwemo wanafunzi...
ABIRIA WANUSURIKA KIFO HIACE IKITEKETEA KWA MOTO STENDI YA MABASI SOKO KUU MJINI SHINYANGA
Abiria ambao idadi yao haijajulikana wamenusurika kuungua baada ya gari aina ya Hiace yenye namba za usajili T998 AAP inayofanya safa...
WAGONJWA WA HIV KUTUMIA SINDANO BADALA YA DAWA IWAPO MAJARIBIO YATAFANIKIKIWA
Wizara ya afya ya Rwanda imetangaza kwamba mnamo miaka michache ijayo, wagonjwa wanaotumia dawa za kupunguza makali ya virusi vya uki...
MFUMO WA VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA WAZINDULIWA RASMI, ELIMU KUTOLEWA NYUMBA KWA NYUMBA
Mfumo wa vifurushi vya Bima ya Afya umezinduliwa rasmi jana jijini Dar es Salaam, huku Mwenyekiti wa Bodi ya Mfumo wa Bima ya Taifa (NH...
HUMPHREY POLEPOLE AMPIGA KIJEMBE SUMAYE BAADA YA KUPIGWA CHINI UCHAGUZI CHADEMA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amempiga kijembe Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye ba...
DPP AFUTA KESI 59 ZAIDI JIJINI MBEYA
Katika mwendelezo wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Balozi Dkt Augustine Mahiga (Mb) kwenye mikoa ya kusini, Mkuruge...
AGAPE YAENDESHA KIKAO KUJADILI KUTENGENEZA MUONGOZO WA KUPAMBANA NA UKATILI SOKONI SHINYANGA
Shirika lisilo la kiserikali Agape Aids Control Programme limeendesha kikao cha kujadili namna ya kutengeneza muongozo ambao utatumik...
WAZIRI JAFO AWAPA WIKI MOJA WAKURUGENZI KUMPA TAARIFA ZA MIKOPO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo,amezitaka halmashauri zote nchini kutoa taarifa ...
WAZIRI MKUU: NCHI YETU INAHITAJI WATAALAMU WA SEKTA YA UVUVI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inahitaji kupata watendaji wa sekta ya uvuvi kuanzia ngazi ya vitongoji kwani kuna vijiji ...
SUMAYE APIGWA CHINI UCHAGUZI CHADEMA
Aliyekuwa mgombea pekee wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye ameshindwa kutetea nafasi hiyo baada ya kupi...
MSANII BI CHEKA AFARIKI DUNIA
Msanii wa Muziki Nchini Tanzania Cheka Hija Mzee Maarufu zaidi Bi Cheka amefariki dunia mchana wa Novemba 28,2019 katika Hospitali ya ...
DRC: TIMU ZINAZOPAMBANA DHIDI YA EBOLA ZALENGWA KATIKA MASHAMBULIZI ITURI
Afisa wa afya wa DRC anayepambana dhidi ya Ebola katika hospitali ya Bwera, karibu na mpaka na Uganda (picha ya kumbukumbu). Maafis...
KUNDI LA IS LADAI KUSABABISHA AJALI YA HELIKOPTA MBILI ZA UFARANSA MALI
Helikopta ya jeshi aina ya NH90 ya kikosi cha jeshi la Ufaransa, Barkhane, katika eneo la Ndaki, Mali, Julai 29, 2019 Kundi la wan...
KAHAMA: KAMPUNI ZA UJENZI WA BARABARA ZATAKIWA KUANZA KAZI
Serikali ya halmashauri ya mji wa Kahama wilayani Kahama mkoani Shinyanga imezitaka kampuni za utengenezaji wa miundombinu ya barabar...
DRC: MIILI KUMI NA TISA YAPATIKANA BENI
Askari wa kikosi cha Umoja w Mataifa nchini DRC (MONUSCO), Aprili 11, 2019, katika mkoa wa Kivu Kaskazini ambapo makundi kadhaa ya silaha...
RAIS MAGUFULI APIGA MARUFUKU HALMASHAURI KUKOPA BENKI
Rais Magufuli amewapiga marufuku Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zote nchini kuacha mara moja kukopa fedha kwenye taasisi za fed...
MFUMO MPYA KUWATAMBUA WAHALIFU WAJA
Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali inatarajia kuanzisha mfumo wa kanzidata wa taifa utakaosaidia kurahisisha utambuzi wa miili iliyoh...
MBUNGE CHADEMA AJA NA HOJA TANO KUMNG’OA MBOWE
MBUNGE wa Ndanda, Cecil Mwambe (Chadema), ametangaza nia ya kumng’oa Mwenyekiti anayemaliza muda wake, Freeman Mbowe katika nafasi hi...
RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA TENA NA WANACHI AKIWA MJINI KAHAMA - SHINYANGA "NISIKILIZE INJINIA, UKICHEZA NA HII NITAKUFUNGA"
WATANZANIA ASILIMIA NANE PEKEE WANA BIMA YA AFYA
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF), umesema kuwa ni Watanzania milioni 4.6 tu wenye bima ya Afya sawa na asilimia nane.
MASAUNI AMWAGIZA IGP SIRRO KUPANGUA UONGOZI CHUO CHA POLISI
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Hamad Masauni amemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro kufanya mabadil...
MADAKTARI WAONYA, WAELEZA MADHARA YA KULALA NA SIMU
Madaktari bingwa wa ubongo na mishipa ya fahamu na wale wa magonjwa ya saratani wanaonya kuwa kulala karibu na simu kuna madhara kia...
TAMKO LA MAREKANI JUU YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA “TUMESIKITISHWA SANA”
Leo November 27, 2019 Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wake Nchini Tanzania imedai kuwa, Wasimamizi wa Uchaguzi kwa kiasi kikubwa...
UGANDA: VICHWA VIWILI VYA BINADAMU VYAKUTWA SHAMBANI
Polisi Wilayani Ibanda nchini Uganda Ibanda wamevikuta vichwa viwili vya binadamu (Mwanaume na Mwanamke) vikiwa vimetupwa shambani ma...
SERIKALI KUANGALIA MANUFAA YA MPANGO WA KUPELEKA UMEME VIIJIJINI
Serikali imeaza kufanya utafiti wa kuangalia manufaa yayopatikana kutokana na utekelezaji wa mpango wa kupeleka umeme viijijini.
MWINYI ZAHERA AIBUKIA YANGA KIMTINDO
Aliyekuwa kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema anarudi Tanzania kufuata malimbikizo ya madeni yake kwa uongozi wa klabu hiyo.
CCM WAMPA ONYO BENARD MEMBE
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho.
RAIS MAGUFULI AMPONGEZA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA KWA KUCHAPA KAZI VIZURI
Rais Magufuli amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga (RC), Zainabu Tellack kwa kumwakilisha vema kwa kusimamia kikamilifu nafasi yake ...
RAIS MAGUFULI:"KUSUSIA UCHAGUZI NAYO NI DEMOKRASIA"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema kitendo cha kususia uchaguzi na kujitoa katika uchaguzi pia ni...
MAJIBU YA RAIS MAGUFULI BAADA YA MWANANCHI KUMTAKA AACHIE FEDHA, MAISHA MAGUMU
Rais Magufuli amewataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii na waache kulalamika kwamba hawana fedha wakati hawajitumi.
SHAHIDI AELEZA MAHAKAMA ADHABU ILIVYOSABABISHA ULEMAVU WA MGONGO KWA MWANAFUNZI
Kesi ya jinai inayomkabili Mwalimu Focus Mbilinyi , dhidi ya Jamhuri kwa tuhuma za kumpiga Mwanafunzi na kumsababishia ulemavu, imeende...
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA KAHAMA - SHINYANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Kahama waliomsubiri njiani akilekea Mk...
MKUTANO WA 39 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA EAC KUANZA LEO JIJINI ARUSHA
Mkutano wa 39 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unatarajiwa kwanza leo tarehe 27 Novemba 2019 jijini Arusha.
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA
Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mwanza Limefanikiwa Kuipata Silaha Moja Aina Ya Bastola Ikiwa Na Risasi Tatu Zinatumiwa Na Wahalifu (Majambaz...
WANANCHI WA NAMIBIA WAPIGA KURA KUWACHAGUA VIONGOZI WAO
Tintenpalast, Makao makuu ya Serikali na Bunge la Windhoek, mji mkuu wa Namibia. Raia wa Namibia wanapiga kura leo Jumatano katika ...
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA KAHAMA - SHINYANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Shelui waliomsubiri njiani akilekea Mk...
ASKARI 13 WA UFARANSA WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA HELIKOPTA MBILI MALI
Askari wa Ufaransa na Mali wakipiga doria pamoja katika mitaa ya Menaka, jimboni Liptako, Mali, Machi 21, 2019. Ufaransa umewapotez...
DRC: MVUA KUBWA YAUA WATU THELATHINI NA SITA KINSHASA
Kinshasa, DRC, Barabara kuu ya Juni 30 yakumbwa na mafuriko, Oktoba 25, 2019. Watu wasiopungua 36 wamefariki dunia baada ya mvua ku...
WASIOJULIKANA WAVUNJA OFISI YA SHULE MBEYA, WAIBA VITU VYA MAMILION
Watu wasiojulikana wamevunja osi ya Mkuu wa Shule ya Msingi Uhuru iliyopo kata ya Mwakibete Halmashauri ya jiji la Mbeya na kuiba fedha...
FREDRICK SUMAYE AZUNGUMZIA UCHAGUZI WA CHADEMA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fredrick Sumaye amesema kwa sasa hawezi kusema chochote kufuatia...