
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt.Hussein Mwinyi amewahidi
Wazanzibar kuwa serikali yake ikingia madarakani itahakisha bandari mpya ya mafuta na gesi
itajengwa eneo la Bumbwini Mkoa wa Kaskzini Unguja.
Dkt.Hussein Mwinyi ametoa ahadi hiyo alipokuwa akizumgumza na wanachama wapezni wa
Chama cha Mapinduzi na wakazi wa Bumbwini Mkoa Wa Kaskazini Unguja Oktoba 07, 2020 na
kusema mradi huo umeshaanza na utakamilishwa na serikali yake.
Mgombea Urais huyo wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar pia amezungumzia suala la ajira kwa
vijana, ambapo suala la viwanda na uvuvi ndiyo nguzo zake muhimu za kuziendeleza na
kuzisimaamia.
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker
Post a Comment