
Kiongozi wa chama cha National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi Maafufu Bobi Wine
amekamatwa na jeshi la polisi nchini Uganda akiwa katika harakati za kampeni.
Bobi wine amekamatwa na maasa wa polisi katika wilaya ya Luuka mashariki mwa
Uganda,alikokuwa anatarajiwa kuendesha kampeni.
Maasa wa usalama wanamshutumu kwa kuendesha mikutano ya hadhara bila kuzingatia
masharti ya kudhibiti maambukizi ya homa ya Corona.
Msemaji wa idhara ya polisi Fred Enanga ametangaza kwamba mgombea yeyote atakaye
endesha mikutano ya kampeni za hadhara atakamatwa, hata hivyo haijajulikana mpaka sasa
mwanamuziki huyo amepelekwa wapi na polisi.
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker
Post a Comment